Muimbaji wa Mahaba Niue, Maua Sama amedai kuwa anaweza kufanya kazi
na label yoyote ile inayofanya vizuri na yenye mafanikio yanayoonekana.
Hata hivyo ameongeza kuwa kwa sasa yupo chini ya usimamizi wa THT na
kwamba si rahisi kuhama, bali inawezekana kushirikiana na msanii yeyote
nje ya uongozi wake.
Akiongea na kituo kimoja cha redio nchini, Maua amesema so far THT
imemfikisha sehemu nzuri na haoni mapungufu yoyote kwenye muziki wake.
Kwa upande mwingine Maua amedai kuwa mashabiki wake watarajie kazi nzuri na mpya kutoka kwake.
20 October, 2016
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...

-
Mshambuliaji huyo wa umri wa miaka 26 ambaye amekuwa akichezea klabu ya Corinthians ya Ugiriki amechezea taifa lake mechi 27 na kuwafungi...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
No comments:
Post a Comment