20 October, 2016

Maua Sama: Nipo tayari kufanya kazi na label yenye mafanikio

Muimbaji wa Mahaba Niue, Maua Sama amedai kuwa anaweza kufanya kazi na label yoyote ile inayofanya vizuri na yenye mafanikio yanayoonekana.
Hata hivyo ameongeza kuwa kwa sasa yupo chini ya usimamizi wa THT na kwamba si rahisi kuhama, bali inawezekana kushirikiana na msanii yeyote nje ya uongozi wake.

Akiongea na kituo kimoja cha redio nchini, Maua amesema so far THT imemfikisha sehemu nzuri na haoni mapungufu yoyote kwenye muziki wake.
Kwa upande mwingine Maua amedai kuwa mashabiki wake watarajie kazi nzuri na mpya kutoka kwake.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...