10 October, 2016

50 Cent kuachia Mix-tape yake mpya Hivi karibuni.

Mashabiki wa 50 Cent wamekua wakiuliza maswali mengii ambayo yanatokana na Kimya cha huyu jamaa katika social media tofauti tofauti. Kuna kila dalili kwamba Mashabiki wa 50 watapata kitu roho inapenda hivi karibuni maana DJ Whoo Kid yupo studio akifanya mixing ya ngoma za Mixtape ya nne ya 50 Cent.

Mix-tape hii itahusisha ngoma zote za 50 ambazo bado hazijatoka kama vile Young Buck, Lloyd Banks, Tony Yayo na Kidd Kidd.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...