Mix-tape hii itahusisha ngoma zote za 50 ambazo bado hazijatoka kama vile Young Buck, Lloyd Banks, Tony Yayo na Kidd Kidd.
10 October, 2016
50 Cent kuachia Mix-tape yake mpya Hivi karibuni.
Mashabiki wa 50 Cent wamekua wakiuliza maswali mengii ambayo yanatokana na Kimya cha huyu jamaa katika social media tofauti tofauti. Kuna kila dalili kwamba Mashabiki wa 50 watapata kitu roho inapenda hivi karibuni maana DJ Whoo Kid yupo studio akifanya mixing ya ngoma za Mixtape ya nne ya 50 Cent.
Mix-tape hii itahusisha ngoma zote za 50 ambazo bado hazijatoka kama vile Young Buck, Lloyd Banks, Tony Yayo na Kidd Kidd.
Mix-tape hii itahusisha ngoma zote za 50 ambazo bado hazijatoka kama vile Young Buck, Lloyd Banks, Tony Yayo na Kidd Kidd.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment