21 July, 2016

Watanzania 7 waliotajwa kuwania tuzo za AFRIMMA 2016

 
AFRIMMA ni tuzo zitolewazo kwa wasanii walio fanya vizuri barani Africa na kwa mwaka huu tuzo hizi zimepangwa kutolewa Tarehe 15 October 2016 huko Dallas Texas Marekani. 

Wanaowania tuzo za 2016 tayari wametajwa ambapo miongoni mwao, Watanzania wanaowania ni Dancer wa Diamond Platnumz Mose Iyobo, Diamond Platnumz mwenyewe, Alikiba, Yamoto Band, Vanessa Mdee, Linah na Producer Tudd Thomas kama inavyoonekana kwenye hii list hapa chini.
a1
5
3
8B
9
9B
10
4
Japokua hapa wameandika Sauti Sol wamemshirikisha Alikiba, kitu sahihi ni kwamba wimbo huu ni wao wote na sio Alikiba kushirikishwa, huo wimbo wa pili wa Akothee ndio Diamond kashirikishwa.
16
15
13
12
11
8
7
6
1
2 Rai yangu kwako wewe shabiki wa Bongo flava tafadhali tuwe kitu kimoja(Team Tanzania) ili kuwapa suport hawa wawakilishi wetu.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...