21 July, 2016
Music: Dyna Nyange Ft Billnass- Komela
Ni yule yule aliye imba Nivute kwako na Hit nyingi kibao, Mwana dada Dyna nyange safari hii katuletea ngoma yake mpya iitwayo KOMELA akiwa amempa shavu rapper anaye fanya vizuri katika game kwa sasa Billnass. Ngoma imafanyika chini ya producer Mr T Touch.
Unaweza ukabonyeza hap chini kuupakua wimbo huo mpya
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment