21 July, 2016

Music: Dyna Nyange Ft Billnass- Komela

 
Ni yule yule aliye imba Nivute kwako na Hit nyingi kibao, Mwana dada Dyna nyange safari hii katuletea ngoma yake mpya iitwayo KOMELA akiwa amempa shavu rapper anaye fanya vizuri katika game kwa sasa Billnass. Ngoma imafanyika chini ya producer Mr T Touch.

Unaweza ukabonyeza hap chini kuupakua wimbo  huo mpya

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...