20 July, 2016

Collaboration ya Iggy Azalea na Drake iko njiani?

Iggy Azalea 
Taarifa(Udaku) zinasema kwamba kuna collabo inakuja kati ya Iggy Azalea na Drake. Kama hayo yatakua ni ya kweli, basi ngoma hiyo itakua ilifanyika kitambo wakati Iggy Azelea akiwa katika kiwango cha juu ila kwa sasa haitowezekana maana kiwango cha Drake kiko juu mno kiasi kwamba nafasi ya kufanya kazi na Iggy itakua ndogo mno.

Any way tuwaache ila nitafurahi kuwaona wakali hawa wakiwa katika joint moja...
One love.......

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...