20 July, 2016
Collaboration ya Iggy Azalea na Drake iko njiani?
Taarifa(Udaku) zinasema kwamba kuna collabo inakuja kati ya Iggy Azalea na Drake. Kama hayo yatakua ni ya kweli, basi ngoma hiyo itakua ilifanyika kitambo wakati Iggy Azelea akiwa katika kiwango cha juu ila kwa sasa haitowezekana maana kiwango cha Drake kiko juu mno kiasi kwamba nafasi ya kufanya kazi na Iggy itakua ndogo mno.
Any way tuwaache ila nitafurahi kuwaona wakali hawa wakiwa katika joint moja...
One love.......
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment