07 June, 2016

Rapper LL Cool J karudi tena shule.

Elimu haina mwisho na wala haina umri maalumu wa kusoma maana Elimu ni bahari. Hii imekuja pale ambapo Rapper Maarufu Marekani na ulimwenguni kwa Ujumla kuamua kurudi tena darasani akiwa na umri wa mika 35 licha ya mafanikio makubwa aliyo kuwa nayo katika Industry ya Burudani kwa ujumla.

image  
Raper huyo mwenye album 13 za hip-hop na pia mwanzili wa Tv series kama vile "In the House" na pia amewahi kuonekana katika Movie "Krush Groove" na ile ya "Any Given sunday" amekuwa na kiu ya elimu.

Raper huyo yupo Boston katika chuo Cha Havard kitengo cha biashara, akijifunza ni namna gani ataweza kuendesha vyema katika industry ya Burudani.

Katika Ukurasa wake wa Twitter alipost picha kadhaa zikionyesha akiwa  Class..
Akiwa na Professor

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...