06 June, 2016

New Video: Jay Moe-‘Pesa Ya Madafu’


Juma Mchopanga a.k.a Jay Moe katuleta Video mpya inayo kwenda kwa jina la ‘Pesa Ya Madafu’ ,Audio imetaayrishwa na Daz Naledge kwenye studio za Bongo Records Studio na video imefanyika Port Elizabeth na Johannesburg South Africa ikiongozwa na director Travellah wa KWETU STUDIOS.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...