Yafuatayo ni mambo 6 yatakayo ifanya Tecno C9 kuwa yakipekee kuliko smartphone nyingine na kuleta mapinduzi....
1. Security(ulinzi).

“C9 is equipped with the latest eyeball recognition technology. It has been tested thousands of times without a recognition error,” Mtu mmoja kutoka Tecno alisema.Utatumia Mboni zako ku-unlock simu yako wakati ukiwa macho na hakuna mtu yeyote atakaye weza kuingia katika simu yako pindi ukiwa umelala ama ukiwa mbali na simu yako.
2. T-Band bracelet

Tecno C9 itakuja na bangili (T-Band bracelet) ambayo itakayo weza ku-control canera ya simu yako ukiwa katika umbali wa mita 10. Ukiwa na hii huna haja ya kukosa kutwanga Photo....The T-Band also has a pedometer that counts each step you make. It has a sleep monitor, sedentary and call reminder as well (Maajabu haya).

T-Bracelet itakusaidia kutafuta simu yako pale ambapo utakuwa umesahau ulipo iweka simu yako. Yaan utabonyeza Main Botton iliyoko kwenye Bracelet kwa muda wa sekunde tatu na simu yako ita-Vibrate na kuita kokote kule iliko.
3. Selfie width

4. The straight selfies

5. Night mode.
Tecno C9’s rear camera has a higher light intake ratio in low light conditions compared to iPhone 6 Plus. This makes Tecno C9’s images are 15% brighter.
In addition to the F/2.0 super diaphragm, Tecno Camon C9 also has Visidon Algorithm Brightness that produces 50% brighter images than average. Its Visidon Algorithm Noise Deduction clears up to 75% of the ‘noise’ in the dark leaving you with a very clear photo.

6.Bei nafuu.
iPhone 6 itakugharimu zaidi ya Tsh 1,400,000, Samsung S6 Edge nayo utaipata kwa bei hiyo hiyo, lakini Tecno C9 itakugharimu Tsh 440340(Dollar 200). Hivyo utaona ni kwa jinsi gani Tecno wamedhamiria kuboresha na kurahisisha maisha ya wengu barani Africa.
No comments:
Post a Comment