12 June, 2016

Music: Peter Msechu ft Banana Zoro ‘Mama’

 
Ni ngoma Nyingine kutoka kwa msanii Peter Msechu ambae anazsidi kufanya poa katika game la Bongo Flava tangu akiwa BSS mpaka leo hii. Katika ngoma Hii yupo Mkongwe Banana Zoro na kwa pamoja wanatuletea ngoma inayokwenda kwa jina la Mama.
Bofya HAPA kuupata wimbo huo. Kumbuka kuwashirikisha wana Kitaa.

SIKILIZA

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...