12 June, 2016
Music: Peter Msechu ft Banana Zoro ‘Mama’
Ni ngoma Nyingine kutoka kwa msanii Peter Msechu ambae anazsidi kufanya poa katika game la Bongo Flava tangu akiwa BSS mpaka leo hii. Katika ngoma Hii yupo Mkongwe Banana Zoro na kwa pamoja wanatuletea ngoma inayokwenda kwa jina la Mama.
Bofya HAPA kuupata wimbo huo. Kumbuka kuwashirikisha wana Kitaa.
SIKILIZA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment