09 May, 2016

Josee Chemelion ni nani?


Who Is Dr Jose Chameleone Moja kati ya Wana muziki nguli katika ulimwengu  wa Burudani ya Muziki kwa upande wa Africa mashariki na Africa kwa Ujumla ni Josee Chemelion.

Jina lake kamili anajulikana kama Joseph Mayanja na alizaliwa mnamo mwaka 1979 Huko nchini Uganda. Josee Chamelion alianza kazi za sanaa mnamo mika ya 1990 nakuendelea wakati akiwa sekondary na alianza kama Mc na Dj kwenye Night clubs..

Baadae alijiunga na Ogopa Djs nchini kenya na Ngoma yake ya kwanza kufanya ilikuwa ikijulikana kama "BAGEYA" mabayo alimsha Mkali mwingine kutoka kenye anaekwenda kwa jina la Red-son.
Aina ya muziki anayoimba Josee ni muunganiko wa ladha za muziki aina zouk, Rumba, na ragga na muziki kidogo kutoka pale Uganda kidogo.

Mpaka ilipo fika mwaka 2013 Chamelion alikuwa teyari ana album zipatazo 12 na album hizo ni Bageya-2000, “Mama Mia” - 2001, “Njo Karibu”- 2002, “The Golden Voice”- 2003, “Mambo Bado”-2004  “Kipepo” - 2005, "shida za dunia"-2006, "sivyo ndivyo"-2007, "Bayunga"-2009, "Vumilia"-2010, "Valu valu"-2012, Badilisha-2013.

Ni Raisi wa Ugandan Music label inayojulikana kwa jina la "Leone Island" ambayo ndani yake kuna wasanii kama Mosses Radio, Wheezle, AK 47 na wakali wengine wengi.

Ni member katika kundi la wasanii nchini Uganda ambalo wasanii hao hutumia majina yao na umaarufu wako kupinga na kupambana na umasikini pamoja na HIV/AIDS,

Tuzo alizo wahi kutwaa ni kama ifuatavyo:-

  • Beffta Awards UK – Best International Act
  • 2003 Pearl of Africa Music Awards (PAM Awards) – Artiste of the Year, Best Male Artist, Best Contemporary Artist & Song of the Year ("Mama Mia")
  • 2004 Pearl of Africa Music Awards (PAM Awards) – Artiste of the Year & Song of the Year ("Jamila")
  • 2005 Pearl of Africa Music Awards (PAM Awards) – Best Afro Beat Artiste/Group & Best Afro Beat Single ("Kipepeo")
  • 2004 Tanzania Music Awards – Best East African Album ("Bei Kali")
  • 2005 Tanzania Music Awards – Best East African Album ("Jamila")
  • 2006 Pearl of Africa Music Awards (PAM Awards) – Best Afro Beat Artiste/Group
  • 2006 Kisima Music Awards – Best Ugandan Song (Mama Rhoda) & Best Ugandan Music Video (Mama Rhoda)
  • 2007 Kisima Music Awards – Best Ugandan Song (Sivyo Ndiviyo with Professor Jay)
  • 2011 Ugandan Radio Dotcom Music Awards – Artiste of The Year
  • 2013 [Kilimanjaro Music Awards] – Best East African Song "Valu Valu"
  • 2014 [Kilimanjaro Music Awards] – Best East African Song "Tubonge"
  • 2014 HiPipo Music Awards – Song of the Year "Badilisha"
  • 2014 HiPipo Music Awards – Best Male ZOUK Song "Badilisha"
  • 2015 AFRIMA Awards - Africa Song Writer of the year 2015

Enjoy video mpya kutoka kwa  Josee Chemelion inayokwenda kwa jina la Agatako.

Hayo ni machache tuu kuhusu nguli huyu wa muziki Africa, Je una maoni gani kuhusu Blog hii? tafadhali nitumie maoni yao katika cooment box na mimi nitayafanyia kazi.


"Bageya"
"Bageya"
"Bageya"
"Bageya"

Je ungependa kupata Makala zetu kila ifikapo Week-End BURE? Basi Jiunge leo na Watu 3000 waliopenda kupata makala zetu.

* Inahitajika

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...