15 February, 2016

Barcelona jana ilifanikiwa kuinyuka Celta De Vigo kwa mabao 6-1+(VIDEO)

Timu ya soka ya Barcelona jana ilifanikiwa kuinyuka Celta De Vigo kwa mabao 6-1, katika mwendelezo wa Ligi kuu ya Hispania kupitia mabao ambayo yalifungwa na wachezaji Lionel Messi ,Luis Suárez mabao , Ivan Rakitic pamoja na Neymar Neymar da Silva Santos Júnior, mchezaji Lionel Messi akifunga Hat-trick katika mchezo huoMbali na mchezo huo michezo mingine Getafe iliambulia kichapo cha bao 1 – 0 kutoka kwa Atl Madrid, Real Sociedad wao walichomoza na ushindi wa mabao 3 – 0 dhidi ya Granada CF,na Sevilla ilichapa bao 2 – 0 Las Palmas.The Uruguayan meets Messi's delicately timed square ball and emphatically side foots the ball beyond the hapless Sergio in goalSuarez lifts the ball over Celta Vigo goalkeeper Sergio to put Barcelona back into the lead in the second half at the Nou CampBarcelona had taken the lead on 26 minutes after Messi curled a free-kick into the top left hand corner beyond goalkeeper SergioKwa matokeo hayo Barcelona inaongoza ligi ikiwa na pointi 57,ikifuatiwa na Altetico Madrid kwa pointi 54,nafasi ya tatu ni Real Madrid yenye pointi 53,Villarreal ipo nafasi ya Nne na nafasi ya tano ni sevilla ikiwa na pointi 40.

Tazama video ya Magoli hayo hapo chini

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...