16 February, 2016

'She Said Yes' hatimaye Eric Omondi amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake wa Italia

Siku ya Valentine imekuwa ya pekee kwa watu wengine na wengine inawezekana ikawa ni siku ya maumivu, Lakini kwa mchekeshaji Eric Omondi kutoka Kenya yeye imekuwa ya pekee baada ya kumvisha pete ya uchumba Chantal Grazioli aliyekuwa mpenzi wake wa muda mrefu.Akiiba maujanja kutoka kwenye baadhi ya filamu zakimahaba, Erick Omondi alionekana kwenye fukwe ya bahari nakuamua kutupa nanga kumtaka mpenzi wake huyo awe mchumba wake na baadaye ndoa. Hizi hapa picha.


No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...