16 February, 2016
'She Said Yes' hatimaye Eric Omondi amemvisha pete ya uchumba mpenzi wake wa Italia
Siku ya Valentine imekuwa ya pekee kwa watu wengine na wengine inawezekana ikawa ni siku ya maumivu, Lakini kwa mchekeshaji Eric Omondi kutoka Kenya yeye imekuwa ya pekee baada ya kumvisha pete ya uchumba Chantal Grazioli aliyekuwa mpenzi wake wa muda mrefu.Akiiba maujanja kutoka kwenye baadhi ya filamu zakimahaba, Erick Omondi alionekana
kwenye fukwe ya bahari nakuamua kutupa nanga kumtaka mpenzi wake huyo
awe mchumba wake na baadaye ndoa. Hizi hapa picha.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment