Mshambuliaji
Cristiano Ronaldo akikimbia kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili
Real Madrid katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Sporting Gijon kwenye mchezo
wa La Liga usiku huu Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real
yamefungwa na Karim Benzema mawili na Gareth Bale moja, wakati la Gijon
limefungwa na Isma Lopez 18 January, 2016
RONALDO NA BENZEMA KILA MMOJA AFUNGA MAWILI REAL MADRID YASHINDA 5-1 (Video)
Mshambuliaji
Cristiano Ronaldo akikimbia kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili
Real Madrid katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Sporting Gijon kwenye mchezo
wa La Liga usiku huu Uwanja wa Bernabeu. Mabao mengine ya Real
yamefungwa na Karim Benzema mawili na Gareth Bale moja, wakati la Gijon
limefungwa na Isma Lopez
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
Mpenzi msomaji wa safu hii ni siku nyingine tunakutana katika kujuzana,kukumbushana, na kuelimishana mila na desturi za makabila mbalimbal...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
No comments:
Post a Comment