Diamond Platnumz
ni jina la staa wa Kitanzania anayefanya poa kulibeba jina la Tanzania
kwenye vichwa vya habari vya kimataifa kupitia kazi ya muziki mzuri
anaoufanya.
Kapata nafasi kuweka fleva ya sauti yake na mistari kwenye ngoma ya mrembo Akothee kutoka Kenya… mzigo wenyewe hauko mbali kuachiwa na hapa nina kionjo cha ‘Sweet Love’ yao kwenye sekunde 21
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
Mshambuliaji huyo wa umri wa miaka 26 ambaye amekuwa akichezea klabu ya Corinthians ya Ugiriki amechezea taifa lake mechi 27 na kuwafungi...
No comments:
Post a Comment