17 December, 2015

Nicki Minaj aiomba mahakama isimpeleke Meek Mill jela tena,ajitolea kumnyosha.

minajNicki Minaj ametoa ushahidi juu ya maisha ya Meek Mill na kwanini jaji hatakiwi kumpa athabu kubwa ya kurudi jela kwa kosa la kuvunja masharti ya mahakama.
Nicki Minaj amesema ” mimi ndio ntakaye kuwa na lala mwenyewe akienda jela,najua Meek Mill is Not Perfect ila huta amini jinsi alivyobadilika sasa”
Nicki Minaj ameomba mahakama impe nafasi ya kumsaidia Meek Mill kufata masharti ya mahakama. Wakili wa Meek Mill amesema biashara ya muziki ina mpa msongo wa mawazo msanii huyu.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...