Nicki Minaj amesema ” mimi ndio ntakaye kuwa na lala mwenyewe akienda jela,najua Meek Mill is Not Perfect ila huta amini jinsi alivyobadilika sasa”
Nicki Minaj ameomba mahakama impe nafasi ya kumsaidia Meek Mill kufata masharti ya mahakama. Wakili wa Meek Mill amesema biashara ya muziki ina mpa msongo wa mawazo msanii huyu.
No comments:
Post a Comment