17 December, 2015

Mtandao mkubwa wa Marekani waisifia Cover ya Hello iliyoimbwa kwa kiswahili, wasema ni bora kuliko original

Zimetoka Cover nyingi za wimbo wa Adele ‘Hello’ lakini hii iliyoimbwa na msanii wa Kenya, Dela Maranga kwa lugha ya Kiswahili inaweza kuwa bora zaidi.
Mtandao wa Perez Hilton umesema Cover ya wimbo wa Adele ‘Hello’ iliyoimba kwa kiswahili ni bora kuliko Original iliyoimbwa na Adele mwenyewe. “Dela Maranga is a singer from Nairobi, Kenya, and her Swahili version of the 25classic may actually be better than the original. Her voice is powerful like Adele’s, but she also has this soulful tone that makes the lyrics even more painful — in the best way possible.” Wameandika kwenye mtandao huo Isikilize hapa

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...