17 December, 2015
Millen Magese kuonekana kwenye video mpya ya Diamond na Mafikizolo?
Mwanamitindo mkubwa wa Tanzania, Millen Magese ataonekana kwenye video mpya ya Diamond Platnumz na Mafikizolo.
Millen anaweza akawa mmoja ya watu wataoonekana kwenye video hiyo, kupitia Instagram muimbaji wa kundi la Mafikizolo, Nhlanhla Nciza ameweka picha akiwa na mrembo huyo wakati wa kushoot video
“On set for the Mafikizolo @diamondplatnumz @djmaphorisa music video shoot, surrounded by my beautiful honeys Tanzania’s international supermodel @ladivamillen @blackbarbiellish and makeup boss @nthatomashishi East meets south #OneContinentOneLove #EpicnessAllAround”
Video ya wimbo huo unaoitwa ‘Colours of Africa’ imekamilika na imeshootiwa Afrika kusini.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment