08 December, 2015

Koffi Olomide asema anatamani kufanya Collabo na Diamond Platnumz


Msanii mkongwe wa nyimbo za dance kutoka Congo, Koffi Olomide ameonesha nia ya kufanya collabo na staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz.
koffi
Koffi Olomide ambaye ametua Tanzania jana ameiambia AyoTv kuwa angependa kufanya collabo na Diamond, akijibu swali alipoulizwa kama anampango wowote wa kufanya collabo na Diamond, Alisema
“Yes, i hope, i wish”
Koffi Olomide atafanya show usiku wa leo [December 8] Escape one kwenye tamasha la ‘Mkesha wa uhuru’
Source: AyoTv

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...