08 December, 2015
Koffi Olomide asema anatamani kufanya Collabo na Diamond Platnumz
Msanii mkongwe wa nyimbo za dance kutoka Congo, Koffi Olomide ameonesha nia ya kufanya collabo na staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz.
Koffi Olomide ambaye ametua Tanzania jana ameiambia AyoTv kuwa angependa kufanya collabo na Diamond, akijibu swali alipoulizwa kama anampango wowote wa kufanya collabo na Diamond, Alisema
“Yes, i hope, i wish”
Koffi Olomide atafanya show usiku wa leo [December 8] Escape one kwenye tamasha la ‘Mkesha wa uhuru’
Source: AyoTv
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment