
Katika uchaguzi huo ulioshirikisha vyama vitano vya siasa, LEMA amepata kura Elfu-68 na 848 kati ya kura Laki-1,Elfu-4 na 353 zilizopigwa akifuatiwa na mgombea wa Chama cha Mapinduzi,PHILEMON MOLLEL aliyepata kura Elfu-35 na 907.
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
No comments:
Post a Comment