
Hizi ni baadhi ya comment ambazo wamempinga Wema.
sam.kiriahapo umebugi mamaaa nshaku unfollow kwa uswechu wako mchoma sindano za matako we
nassy_junior6_chotta Nlikuheshim now mejua Y watu wengi hawakupend licha ya mazur ulofanya !!! Kumbe huna tofaut sana na wale wanaokuchukia bila sababu. Umesoma hujaelimika .... Pumbaaaaa kabisa wee sio wakuandika huu utumbooo ungekaa kimya tyuuu watu wakaelewa
newahosimkoko @wemasepetu Kioo cha jamii anatakiwa kuwa na busara na hekima, nikweli unapenda ccm but tumia busara kwenye matamshi na ukiwazacho, usitukane mamba kabla ujavuka mto, mbona Tanzania wasanii ni wengi, mbona wazuri na wajulikana sana na wanapendwa, najiuliza mbona wao wapo kimya, kila siku wema kwanini usi focus kwenye vitu vya msingi na kunyamaza watu waone matendo na si maneno, jua we ni mama wa baadae, je utawafundisha nini watoto wako ukiwa ufanyi busara kwenye kila utendalo
No comments:
Post a Comment