
Lakini pia mapema leo asubuhi Mziwanda aliamka na kuandika ujumbe mzito kwa aliyekuwa Miss Tanzania 2006 Wema Sepetu kuwa anatuma team Wema kumtongoza Shilole haswa baada ya sauti iliyo sikika ya Mziwanda akimtongoza Wema kuleta shida kwenye penzi lao.
Idris Sultan ameandika haya kwenye account yake ya Instagram kuhuisiana na ujumbe wa Mziwanda kudai kuwa amekuta jumbe za maandishi kwenye simu ya Shilole zinazo onyesha niza Idris kumtongoza Shilole. Haya ndiyo aliyo andika
No comments:
Post a Comment