28 August, 2015

USAJILI : BAADA YA DI MARIA HUYU NDIYE MCHEZAJI ANAYEFUATA KUSEPA UNITED KWA KIPINDI HIKI.

logo
Huu ni muda wa kuhama na kuhamia kutoka kwenye club mbalimbali duniani. Di Maria alihama kutoka Manchester united na kujiunga na PSG. List ya wachezaji walihama na kuhamia ni wengi na pesa iliyotumika ni nyingi.
Jina jipya linalotajwa kutoka Manchester united ni la kipa Victor Valdes ambae anategemewa kujinga na club ya Besiktas. Taarifa inasema kwamba Rais wa Besiktas yupo Le Meridien Beach Plaza hotel huko Monte Carlo kwa ajili ya kukamilisha dili la mchezaji huyo.
Hadi sasa taarifa zinasema kwamba Valdes amepewa ofa ya mkataba wa miaka 2 na option ya kongeza mwaka mmoja wa ziada kama akitaka.
valdes

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...