Huu ni muda wa kuhama na kuhamia kutoka kwenye club mbalimbali duniani. Di Maria alihama kutoka Manchester united na kujiunga na PSG. List ya wachezaji walihama na kuhamia ni wengi na pesa iliyotumika ni nyingi.
Jina jipya linalotajwa kutoka Manchester united ni la kipa Victor Valdes ambae anategemewa kujinga na club ya Besiktas. Taarifa inasema kwamba Rais wa Besiktas yupo Le Meridien Beach Plaza hotel huko Monte Carlo kwa ajili ya kukamilisha dili la mchezaji huyo.
Hadi sasa taarifa zinasema kwamba Valdes amepewa ofa ya mkataba wa miaka 2 na option ya kongeza mwaka mmoja wa ziada kama akitaka.
No comments:
Post a Comment