28 August, 2015

UPDATE: KOCHA WA REAL MADRID AMEPIGILI MSUMALI WA MWISHO KUHUSU BENZEMA NA ARSENAL

real

Real Madrid imezidisha msumali kwenye ndoto ya Arsenal kutaka kumsanjili Benzema kwa msimu huu. Mipango ya Arsenal ya kumsajili mshambuliaji wa Real Madrid karim Benzema inazidi kutibuka baada ya meneja wa Real Madrid kuonyesha kutaka huduma yake kwa msimu huu.
Wakiwa wanajiandaa na mchezo wao wa jumamosi dhidi ya Real Betis, Rafael benitez alisema“Benzema ni mchezaji mzuri na tunamuhitaji ili tuzidi kupata mafaniko. Yeye ni silaha tosha kwetu katika safu ya ushambuliaji”.
Karim Benzema mwenye umri wa miaka 27 ana mkataba na Real Madrid ambao utamalizika mwaka 2019 na ameonekana kua chaguo la mashabiki wa arsenal na club pia lakini kwa sasa imeonekana ni ngumu kumpata. Kushindwa kuhamia msimu huu haimaanishi ndio over.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...