04 August, 2015

Timaya wa Nigeria akutana na Rihanna, Riri aupenda wimbo wa Bum Bum.

timayaaaa
Msanii kutoka Nigeria Timaya ameonekana kwenye visiwa vya Barbados kwenye tamasha la muziki akiwa na Bad girl Riri aka Rihanna. Timaya  na Rihanna walipiga picha pamoja na baadae Riri alionekana akicheza wibo wa Ti,aya ‘Bum Bum’. Inasemekana kuna collabo inakuja na itafanywa na Don Jazzy.
timayaa

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...