Msanii kutoka Nigeria Timaya ameonekana kwenye visiwa vya Barbados
kwenye tamasha la muziki akiwa na Bad girl Riri aka Rihanna. Timaya na
Rihanna walipiga picha pamoja na baadae Riri alionekana akicheza wibo wa
Ti,aya ‘Bum Bum’. Inasemekana kuna collabo inakuja na itafanywa na Don
Jazzy.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment