21 August, 2015

Picha: Beyoncé, Nicki Minaj, Rihanna wakiwa ndani ya vazi la kuogelea, Yupi anapendeza zaidi?

Nikawaida kwa masataa kutupia vazi la kuogelea pale wanapokuwa kwenye mapumziko yao baada ya shughuli za kuwaburudisha mashabiki na kuchukua mwanja wao.

Hizi ni picha za baadhi ya mastaa wakiwa kwenye vazi la kuogelea, Tizama alafu niachie comment hapo chini unadhani nani kapendeza kuliko wote?

Beyoncé.




Nicki Minaj.




Rihanna.



No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...