21 August, 2015

Diamond Platnumz afanya ngoma na msanii Ne-Yo, Hii hapa picha wakiwa studio

Wengi tulijua ya kuwa Ali Kiba ndiye msanii pekee wa Tanzania ambaye atafanya ngoma na Ne-Yo msanii wa Rn'B kutoka Marekani ambaye yupo Kenya kwenye Coke-Studio Afrika.

Lakini usiku wa kuamkia leo, Diamond Platnumz ameweka picha hii inayo muonyesha yeye mwenyewe akiwa studio na Ne-Yo ambapo ameweka caption yenye shukrani kwa msanii huyo kwa kukubali kufanya ngoma pamoja ambayo inawezekana kupitia kwenye mikono ya Sheddy Clever.

Diamond Platnumz ameandika haya "Thanks alot my Brother @neyo and the Whole Compound Crew had a great Session, and it was realy nice working with you...can't wait for the World to hear this Hit Song!! @Diamondplatnumz ft @neyo ..... Cc @sheddyclever @Compoundu @thecorpshow @Jullianl #AfricaTotheWorld"

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...