05 August, 2015

Meek Mill amdiss tena Drake akiwa kwenye show.

meek mil
Rapa Meek mill amerudi na dis nyingine baada ya Drake kumkalisha na Back To Back, Meek Anasema “wasanii kama Lil Wayne, Tyga, Na Birdman hawampendi, show zake zimejaa wauwaji , kila mtu anapigwa risasi, nikikutana na Drake ntaiweka suruale yake katikati ya makalio [Subii] ” .
Hata hivyo hakuna ushahidi kuwa Wayne ana beef na Drake sababu hivi karibuni walikuwa pamoja kwenye sherehe ya siku ya kuzaliwa ya meneja wao Mack Maine.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...