Rapa Meek mill amerudi na dis nyingine baada ya Drake kumkalisha na Back To Back, Meek Anasema “wasanii kama Lil Wayne, Tyga, Na Birdman hawampendi, show zake zimejaa wauwaji , kila mtu anapigwa risasi, nikikutana na Drake ntaiweka suruale yake katikati ya makalio [Subii] ” .
Hata hivyo hakuna ushahidi kuwa Wayne ana beef na Drake sababu hivi karibuni walikuwa pamoja kwenye sherehe ya siku ya kuzaliwa ya meneja wao Mack Maine.
No comments:
Post a Comment