Wayne Rooney ni mchezaji wa
Manchester United mwenye heshima kubwa kwenye klabu yake, taifa lake na
dunia kwa ujumla kutokana na uwezo wake mkubwa awapo uwanjani.
Kutoka kushoto: John Rooney (7), Graeme Rooney (10) na Wayne Rooney (12)
Leo nimekuwekea picha kadhaa za
Rooney wakati akiwa mdogo, kumbe huyu jamaa na yeye ni kama wachezaji
wengine wenye majina makubwa duniani, alianza kucheza mpira akiwa na
umri mdogo sana na kitu cha kufurahisha ni kwamba wadogozake pia
walikuwa wanacheza mpira japo hawakufanikiwa kuvuma duniani kama yeye.
Wayne Rooney wakati akiwa na umri wa miaka 10
Duncan Ferguson akimkabidhi Wayne Rooney kitambaa cha unahodha wakati anatoka nje ya uwanja
No comments:
Post a Comment