Kwa mujibu wa taarifa zilizo tufikia zinazo muhusu msanii Patoranking
wa Nigeria zinasema kuwa msanii huyo anategemea kufanya ngoma na msanii
wa mkubwa kimataifa ambaye ni DJ and producer maarufu kwa jina la Dre Skull, aliyewahi kufanya kazi na wasanii kama Snoop Dogg, Pusha T, Popcaan and Beenie, Man taarifa hizi zilianza kusambaa mara baada ya Dre Skull kuwekwa wazi kwenye Twitter Monday (24 August).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment