28 August, 2015

HABARI NJEMA INAYOMUHUSU MSANII ‘PATORANKING’ WA NIGERIA


Kwa mujibu wa taarifa zilizo tufikia zinazo muhusu msanii Patoranking wa Nigeria zinasema kuwa msanii huyo anategemea kufanya ngoma na msanii wa mkubwa kimataifa ambaye ni DJ and producer maarufu kwa jina la Dre Skull, aliyewahi kufanya kazi na wasanii kama Snoop Dogg, Pusha T, Popcaan and Beenie, Man taarifa hizi zilianza kusambaa mara baada ya Dre Skull kuwekwa wazi kwenye Twitter Monday (24 August).
dre


No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...