24 August, 2015

Diamond na Diva warushiana maneno hewani,


Msanii wa Kizazi kipya Diamond Platnumz na Mtangazaji wa Clouds Fm, Diva Loveness love wamejikuta wakirushiana maneno hewani kwasababu ya ugomvi wao chinichini ambao unaonekana ni wa muda mrefu.
Vita hiyo ya maneno ya watu hao ambao waliwahi kuimba wimbo wa pamoja ‘Piga simu’ imeanza baada ya Mtangazaji wa kipindi cha XXL, Bdozen kuwauliza kama washamaliza tofauti zao (hazijulikani) ndio Diamond akadakia na kumuuliza mtangazaji huyo kwanini huwa anamsema vibaya baada ya hapo ndio wakaanza kurushiana maneno makali.
Diamond alisikika akisema anawaza kwanini hakumk*za labda ndio heshima ingekuwepo lakini Diva alijibu hilo haliwezekani kwasababu Diamond sio Type yake. Mtangazaji wa kipindi cha XXL Bdozen alilazimika kuzima Mike kwasababu hakukuwa na dalili za watu hao kupatana licha ya kujaribu kuwapatanisha hewani.
Hatujui kilichoendelea lakini baada ya Muda kidogo, Diva aliamia kwenye mtandao wa Twitter, akialalamika kuwa Diamond alimtishia kumpiga

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...