08 July, 2015

Yote unayotakiwa kujua kuhusu simu mpya za iphone 6 na iphone 6 plus

Apple wamevunja ukimya wa muda mrefu baada ya kuzindua simu  aina mbili na sio moja ya iphone 6. Tofauti ya iphone hizi mbili ni ukubwa ikiwa zote zina size kubwa kuliko models za zamani. Models hizi mbili ni iphone 6 na iphone 6 plus . iphone 6 ina screen yenye ukubwa wa inch 4.7 ambayo ni kbwa kuliko ukubwa wa iphone 5s yenye inch 4 inch. iphone 6 plus yenyewe ina screen yenye ukubwa wa 5.5 na kuwa miongoni mwa aina mpya za simu wanazoziita “phablet”.iwatch
Je, lini simu hizi zinaingia sokoni ? iphone 6 na iphone 6 plus zinaingia sokoti tarehe 19 mwezi huu ambapo zitauzwa kwenye nchi 10 ambazo ni US, Australia, Canada, France, Germany, Hong Kong, Japan, Puerto Rico, Singapore na UK. Je, vipi kuhusu kukaa na chaji ? ukubwa wa simu hizi umechangiwa na kuongezeka kwa ukubwa wa betri ambapo kwa iphone 6 inaweza kukaa hadi masaa 11 ukiitumia muda wote ambapo iphone 6 plus inakaa hadi masaa 12.
Vipi , je Apple wamezindua kitu kingine ? Yes , ukiachana na iphone 6 na iphone 6 plus , Apple wamezindua kwa mara ya kwanza Apple Watches , saa za mkononi za Apple tunazoziita smartwatches ambapo itasaidia mawasiliano ya haraka kwa kutumia saa na pia kutumia Apps nyingine kirahisi kama maps na siri. Pia Apple Watch inaweza ikatumika kama kifaa cha mazoezi ambapo inaweza ku-track mazoezi yako.

Usisumbuke Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO, SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>mawere_mtoka_mbali,

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...