Wachezaji wa Bayern Munich wamepata mapokezi ya ajabu baada ya kuwasili Mjini Beijing, China wiki hii.
Bayern kwasasa wapo China kujiandaa na msimu mpya na kiukweli mabingwa hao wa Bundesliga wana mashabiki kibao barani Asia.
Tazama video jinsi Thomas Muller na Manuel Neuer walivyopokelewa…..
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment