17 July, 2015

Wachezaji wa Bayern Munich wamepata mapokezi ya ajabu baada ya kuwasili Mjini Beijing

bayern-fans-in-china-july-2015 (1)Wachezaji wa Bayern Munich wamepata mapokezi ya ajabu baada ya kuwasili Mjini Beijing, China wiki hii.
Bayern kwasasa wapo China kujiandaa na msimu mpya na kiukweli mabingwa hao wa Bundesliga wana mashabiki kibao barani Asia.
Tazama video jinsi Thomas Muller na Manuel Neuer walivyopokelewa…..

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...