Mbali na MeekMill kufanikiwa kuingia Toronto japo meya wa mji huyo
alimpiga marufuku kukanyaga lakini amekiona cha mtemakumi baada ya
Wakazi wa mji huo ambao anaotoka Drake wamemzomea Meek Mill wakati
anaperfom kwenye moja ya show ya “PinkPrint Tour” iliyofanyika mjini
humo.
Meek Mill na Drake wameingia kwenye beef baada ya Meek kuibuka na
kudai kuwa drake huwa anaandikiwa mistari na drake kuachia diss track
inayomlenga meek mill moja kwa moja.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment