29 July, 2015
C PWA – WASANII WA HIPHOP WANASHINDWA KUVUKA BODA KWASABABU YA UWOGA WA KUWEKEZA
.
Msaii wa hiphop C pwa amefunguka kuwa wasanii wengi wa hiphop wa bongo
wanashindwa kufika level za kimaita kutokana na kutowekea katika mziki .C Pwa amesema “Kuna wasanii wachae sana wa hiphip ambao wamewekeza
katika mziki na matunda wanayaona , nikisema kuwekeza namaanisha Good
video ,good music production n.k . But ki bongobongo wasanii wengi
wanaogopa kuwekeza kitu kinachowafanya wasivuke boda”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...

-
C9 Records presents STAR by Foby!. Click DOWNLOAD button bellow to download this song.
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
No comments:
Post a Comment