29 July, 2015
C PWA – WASANII WA HIPHOP WANASHINDWA KUVUKA BODA KWASABABU YA UWOGA WA KUWEKEZA
.
Msaii wa hiphop C pwa amefunguka kuwa wasanii wengi wa hiphop wa bongo
wanashindwa kufika level za kimaita kutokana na kutowekea katika mziki .C Pwa amesema “Kuna wasanii wachae sana wa hiphip ambao wamewekeza
katika mziki na matunda wanayaona , nikisema kuwekeza namaanisha Good
video ,good music production n.k . But ki bongobongo wasanii wengi
wanaogopa kuwekeza kitu kinachowafanya wasivuke boda”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...

-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
Yule mkali wa Rnb Rama Dee katuletea ngoma mpya "Kipenda Roho" Bofya ku Download Music: Rama Dee - Kipenda Roho.
No comments:
Post a Comment