Msaii wa hiphop C pwa amefunguka kuwa wasanii wengi wa hiphop wa bongo
wanashindwa kufika level za kimaita kutokana na kutowekea katika mziki .C Pwa amesema “Kuna wasanii wachae sana wa hiphip ambao wamewekeza
katika mziki na matunda wanayaona , nikisema kuwekeza namaanisha Good
video ,good music production n.k . But ki bongobongo wasanii wengi
wanaogopa kuwekeza kitu kinachowafanya wasivuke boda”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment