R&B superstars Toni Braxton and Kenny “Babyface” Edmonds kutoka marekani wanategemea kuperform ngoma zao kwa mara ya kwanza South Africa na Zimbabwe katikati ya tarehe 28, Agust 2015 – tarehe 3, September 2015, mashabiki watakiwa kukaa mkao wa kula na kuzisubiria siku hizo kwani, 28 August 2015 – watakuwa Harare, Zimbabwe – Borrowdale Racecourse, 30 August 2015 – watakuwa Durban – Moses Mabhida Stadium, 1 September 2015 – watakuwa Cape Town – Grand Arena, Grandwest, 3 September 2015 – watakuwa Johannesburg.
25 July, 2015
KWA MARA YA KWANZA TONI BRAXTON & BABYFACE KUFANYA TOUR AFRICA
R&B superstars Toni Braxton and Kenny “Babyface” Edmonds kutoka marekani wanategemea kuperform ngoma zao kwa mara ya kwanza South Africa na Zimbabwe katikati ya tarehe 28, Agust 2015 – tarehe 3, September 2015, mashabiki watakiwa kukaa mkao wa kula na kuzisubiria siku hizo kwani, 28 August 2015 – watakuwa Harare, Zimbabwe – Borrowdale Racecourse, 30 August 2015 – watakuwa Durban – Moses Mabhida Stadium, 1 September 2015 – watakuwa Cape Town – Grand Arena, Grandwest, 3 September 2015 – watakuwa Johannesburg.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment