R&B superstars Toni Braxton and Kenny “Babyface” Edmonds kutoka marekani wanategemea kuperform ngoma zao kwa mara ya kwanza South Africa na Zimbabwe katikati ya tarehe 28, Agust 2015 – tarehe 3, September 2015, mashabiki watakiwa kukaa mkao wa kula na kuzisubiria siku hizo kwani, 28 August 2015 – watakuwa Harare, Zimbabwe – Borrowdale Racecourse, 30 August 2015 – watakuwa Durban – Moses Mabhida Stadium, 1 September 2015 – watakuwa Cape Town – Grand Arena, Grandwest, 3 September 2015 – watakuwa Johannesburg.
25 July, 2015
KWA MARA YA KWANZA TONI BRAXTON & BABYFACE KUFANYA TOUR AFRICA
R&B superstars Toni Braxton and Kenny “Babyface” Edmonds kutoka marekani wanategemea kuperform ngoma zao kwa mara ya kwanza South Africa na Zimbabwe katikati ya tarehe 28, Agust 2015 – tarehe 3, September 2015, mashabiki watakiwa kukaa mkao wa kula na kuzisubiria siku hizo kwani, 28 August 2015 – watakuwa Harare, Zimbabwe – Borrowdale Racecourse, 30 August 2015 – watakuwa Durban – Moses Mabhida Stadium, 1 September 2015 – watakuwa Cape Town – Grand Arena, Grandwest, 3 September 2015 – watakuwa Johannesburg.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...

-
Mshambuliaji huyo wa umri wa miaka 26 ambaye amekuwa akichezea klabu ya Corinthians ya Ugiriki amechezea taifa lake mechi 27 na kuwafungi...
-
Brit Awads 2016 zimefanyika huko London ambapo mwanamuziki Adele ameondoka na tuzo nyingi zaidi katika nomination alizo kuwepo. Hizi hapa...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
No comments:
Post a Comment