Boateng mwenye miaka 26 ameungana na mastaa wengine kwenye michezo ambao wapo chini ya Roc Nation Sport kama Le Bron James na wengine.
Boateng alikamilisha dili hilo kwenye Sports Bar ya Jay Z huko Brooklyn na baadae wakaendelea kwenye private party na Jay Z.
No comments:
Post a Comment