Producer Manecky na msanii wa Bongo Fleva waliowahi kuropotiwa kuwa
na tofauti baada ya Diamond Platnumz kuacha kurekodi kwenye studio za Am
Reocrds na Producer Maneck alipoanza kuvujisha nyimbo zake wamemaliza
tofauti zao.
Manecky aliweka picha yao wakiwa pamoja kwenye studio yake ya Am na
ujumbe wa kusamehana, kwa mujibu wa post yake imeonekana ni meneja wa
Diamond Platnumz ndiye alimaliza matatizo yao. Hii ndio post yake “Kwa Mara nyingine Tena”In life tujifunze kusamehe na kusahau hakuna ajuae Kesho#aboutLast9te#Ramadankareem #AmRecordsHoMeGoodMusicUNAJUA VILE TUNAFANYAGA WHEN MOND meets NeCk..I missed workin with him Sasaaa Basii… @babutale ubarikiwe Boss ”
![Screenshot_2015-07-08-10-32-26](https://lh3.googleusercontent.com/blogger_img_proxy/AEn0k_uRXioqqeky9iTVsjF5z_vquLHIVWbwAvwaVKKFLMVDCaD1WiZx1CayeyfhjMWAdbZ5QlXTswTlUGigaEWXuWBJSH1uooeM0oFGdncHbCJsywUqFLX6eVfoz7CE2DX8AP2ZmmLT5CHBd58N0QkmO_d0GXh-C7LS3Sg93J0yT-KTLysXfnejw7ae7GzCJSYq=s0-d)
![Screenshot_2015-07-08-10-32-58](https://lh3.googleusercontent.com/blogger_img_proxy/AEn0k_th_eWPYJnb2PLSLSBvXFTCqM6juSRNPmYS6dumUXdmHE7U1Tfr070_R2aGSjRSw0k87HD5qfHCSVLh6k23i1QqhqL8Z5aMgPjIQJcmS2_f_4NHqUD5Mm-LfpZtuaisXsk554Y4jvi5YUOWDo9dx7xEnsfM31CPd_L8yZ2eg_dMMDY7clv6bz57LWHaJnQ=s0-d)
Usisumbuke Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO, SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>mawere_mtoka_mbali,
No comments:
Post a Comment