Baada ya kusuburi kwa muda mrefu ule wimbo wa Donald wa South Africa na Diamond Platnumz hatimaye umesogezewa kwetu rasmi leo Julai 20 2015.
Wimbo unaitwa Wangu na hii hapa chini ndio official video ya wimbo wao. Bonyeza Play kuitazama.
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
No comments:
Post a Comment