24 July, 2015

Baada ya kumuomba raisi Obama amsaidie hatimaye Chris brown aruhusiwa kuondoka ufilipino


Chris brown hatimaye ameachiwa kuondoka nchini ufilipino baada kuzuiwa na uhamiaji wa nchini humo kwa madai  ya kutotokea kwenye show ya usiku wa mwaka mpya ambayo alikua amelipwa tayari, waandaji wa show hiyo walimshitaki Chris brown na kuomba serikali isimruhusu kuondoka hadi atakapo lipa pesa yao.
Chris brown ameweka video kwenye mtandao wa Instagram akiondoka Nchi humo,
A video posted by @chrisbrownofficial on cb-manila

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...