Raisi wa Marekani, Barack Obama Tayari amewasili nchi Kenya kwa ajili ya ziara yake ya siku mbili, baada ya Kenya raisi Obama anatarajia kutembelea nchi ya Ethiopia. Hii ni mara ya kwanza kwa raisi Obama kutembelea nchi ya kenya tangu achaguliwe kuwa raisi wa Amerika.
Hizi ni baadhi ya picha zake akiwasili nchi Kenya jioni ya leo,
No comments:
Post a Comment