Luis Suarez anatarajia kuicheza fainali ya Uefa kesho dhidi Juventus kwenye uwanja wa Olympiastadion, mjini Berlin. PLAY HAPA>>>>>>
05 June, 2015
Ajax wametoa video inayoonesha ufundi wa mchezaji wao wa zamani, Luis Suarez wakati wanajadili mechi ya fainali ya kesho ya Uefa Champions League.
Timu hiyo ya Uholanzi imepata video ya kumbukumbu ya nyota huyo wa Barcelona ambaye aliwahi kucheza Amsterdam Arena. Video hiyo inaonesha ufundi wa Suarez wa kuchezea mpira kipindi hicho akiwa Uholanzi.
Luis Suarez anatarajia kuicheza fainali ya Uefa kesho dhidi Juventus kwenye uwanja wa Olympiastadion, mjini Berlin. PLAY HAPA>>>>>>
Luis Suarez anatarajia kuicheza fainali ya Uefa kesho dhidi Juventus kwenye uwanja wa Olympiastadion, mjini Berlin. PLAY HAPA>>>>>>
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment