01 May, 2015

Tuzo nyingine ya heshima aliyopewa staa wa soka Didier Drogba…

droooMbali na uwezo wake mkubwa wa kumiliki mpira uwanjani, Didier Drogba raia wa Ivory Coast amekuwa na mchango mkubwa katika shughuli za kijamii ambazo ambazo amekuwa akishiriki ndani ya nchi yake na Afrika pia.

Uongozi wa ligi kuu ya England FA umeridhishwa na kazi yake.. wameamua kumpa tuzo kutokana na mchango wake mkubwa wa kuhamasisha soka la vijana Afrika na uamuzi wake wa kufungua Didier Drogba Foundation ambayo itakuwa ikifanya kazi ya kuwasaidia watu wenye mahitaji mbalimbali.tuzo
Staa huyo wa soka wa Chelsea amepewa heshima hiyo kama sehemu ya kumpongeza kwa kazi nzuri za kijamii anazofanya.
Tayari Drogba amejenga hospitali kubwa ya kisasa nchini kwao Ivory Coast.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...