02 May, 2015

Rio amefiwa na mke wake ambae alisumbuliwa na cancer kwa muda mfupi

3My soul mate slipped away last night. Rebecca, my wonderful wife, passed away peacefully after a short battle with cancer at the Royal Marsden Hospital in London,” alisema Rio Ferdinand akizungumzia kifo cha mke wake.

Rio amefiwa na mke wake ambae alisumbuliwa na cancer kwa muda mfupi. Rio anasema mke wake alikua mama mzuri kwa watoto wao watatu na atakumbukwa kama mke,dada,shangazi na mambo mengine mengi.
Ningependa kutoa shukrani kwa wataalam wote wakiongozwa na Pro Johnstone kwenye hospitali ya Royal Marsden wakijaribu kumsaidia mke wangu kwenye hili tatizo.
Rio Ferdinand na marehemu mke wa Rebecca Ellison walifanikiwa kupata watoto watatu Lorenz,Tate na Tia.2
Rio akiwa na marehemu mke wake na watoto wae.
 1

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...