04 May, 2015

MAYWETHER AMTAJA BONDIA ANAEMTAKA KABLA YA KUACHA NA NDONDI

maypac
Baada ya pambano la karne kufanyika na matokea kuwa mazuri kwa Floyd Mayweather swali aliloulizwa baada ya pambano ni kwamba atakua na pambano lingine akasema yes, mwezi wa tisa ana pambano.
Baada ya hapo alivyokua kwenye press conference alivyoulizwa nani utamtaka kwa ajili ya pambano lako la mwisho mwezi wa tisa. Mayweather alijibu kwa kifupi “Khan”.

Amir Khan ni bondia kutoka England ambae na yeye ni bondia maarufu na mara nyingi amehusishwa kuhusu pambano kati yake na Mayweather. Pambano hilo ndio litakua la mwisho kwa Money Money. “Baada ya pambano langu la mwezi wa tisa nita staafu kucheza tena boxing”.amir

Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO,SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>Zawadi_mawere. Youtube>>>MAWERE TV.


No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...