04 May, 2015

Kuelekea mechi ya bayern vs barcelona,Robert Lewandowski atacheza akiwa hivi.

MaskBaada ya kuumia vibaya puani na shavu la kushoto kwa ndani, mshambuliaji wa mshambuliaji wa Bayern Munich Robert Lewandowski atacheza mechi ya nusu fainali ya klabu bingwa dhidi ya Barcelona akiwa amevaa (Mask).

Robert Lewandowski aliumia mfupa wa pua wiki iliyopita katika mechi ya nusu fainali DFB Pokal dhidi Borussia Dortmund alivyogongana vibaya na kipa wa klabu hioleo 2leo

Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO,SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>Zawadi_mawere. Youtube>>>MAWERE TV.

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...