24 April, 2015

Staa mwingine atakaye kuwa kwenye kona ya Floyd Mayweather.

flod
Pambano la Floyd Mayweather na Manny Pacquiao linazidi kutawala vichwa vya habari, mastaa kama Rick Ross , 50 Cent wamesha tembelea gym anayofanyia mazoezi Flody na sasa Mariah Carey pia alikuwa na Floyd kwenye gym.

Carey amekuwa shabiki mkubwa wa Mayweather na pambano la mwisho kuhudhuria lilikuwa pambano la Floyd na Shane Mosley mwaka 2010.flod 2flod 3

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...