24 April, 2015

Picha,Louis van Gaal apewa orodha ya wachezaji wa kusajili na kuuza na shabiki wa Man Untd.

shabiki 2
Manager wa Manchester United Louis van Gaal amepewa ruhusa ya kumsajili Gareth Bale baada ya shabiki kumpa orodha ya wachezaji wa kusajiliwa na klabu hio ambao wata gharinu £300m .
Shabiki Tanveer pia ameomba Radamel Falcao asipewe dili la muda mrefu na kwamba mshambuliaji Robin van Persie auzwe.Majina aliyopendekeza shabiki huyu ni pamoja na
hayashabiki 3shabikishabiki 5

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...