23 April, 2015

Manchester United imeshaanza kujipanga kwa ajili ya msimu ujao

over2
Manchester United imeshaanza kujipanga kwa ajili ya msimu ujao baada ya msimu huu kuelekea mwishoni. Kiasi cha €30 million zimetengwa kwa ajili ya kumnasa mkali huyu.

Kwa muda sasa hivi Man United wamekua imehusishwa na uhamisho wa Hummels. Hummels ambae alionekana kuwa ni defender bora kwenye kombe la dunia anaonekana ni mmoja kati ya mastaa wanatarajiwa kusepa Borussia Dortmund.
Kutokana na kocha Jurgen Klopp kutangaza kusepa mwishoni mwa msimu huu basi kuna mwanya mkubwa wa mastaa wa timu hiyo kusepa pia.
Kiasi cha €30 million kimetolewa kama offer ya kwanza kumnasa Mats Hummeles ana miaka 26, amecheza mechi 181 tangu asajiliwe rasmi na Borussia na amefunga magoli 16 akicheza nafasi ya Center defender.over

No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...