23 April, 2015
Madee atimiza ahadi aliyoweka ifikapo siku yake ya Kuzaliwa mwaka huu
Madee anasema amefanikiwa kutimiza ahadi yake ya kuhamia nyumbani kwake
Kimara na leo anamalizia kupanga vitu ndani ya nyumba. Kuhusu kazi mpya
ya Dogo Janja iliyotakiwa kutoka leo 23 April 2014 Madee amesema Msiba
wa Abdu Bonge ulibadilisha ratiba nyingi ndio maana hawajakamilisha kazi
za Dogo Janja.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7
KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...
-
Mboga za majani na matunda zimekuwa zikisisitizwa kwa sana na wataalamu wa afya hasa kwa wanawake wajawaziti kwani zimekuwa zikiongeza Damu...
-
John ana mke ambaye haoni uzuri wa kitu chochote anachofanya, akifika tu nyumbani mke wake huanza kumlalamika kuwa hela anayoacha nyumba...
-
This is a song sang by a very gifted woman Adele, I sang it to show world that everyone appreciate and love to enjoy good music! Asa...
No comments:
Post a Comment