30 April, 2015

Kumbe Tyga nae ni mnazi wa Arsenal.!!!!!

3

Mkali wa mchano ya rap ambae amejulikana kutoka kwenye kundi la Young Money anaitwa Tyga. Huyu jamaa hivi sasa ame-hit sana album ya Fan of Fan 2 hasa na wimbo wa Ayo akiwa na swahiba wake Chris Brown.

Sasa huyu jamaa kumbe ni shabiki wa Arsenal na alivyofika London akaziacha club zote na kwenda kufanya tour kwenye uwanja wa Arsenal. Kwenye hiyo tour alikua na wachezaji wa Arsenal kama Alex Oxlade-Chamberlain na Kieran Gibbs.
Baada ya tour hiyo alipewa jezi ya Arsenal yenye jina Kingin ambalo ni jina anapenda sana kulitumia akiunganisha maneno ya clothing line yake ya The Last King.
Hizi ni picha akiwa uwanjani baada ya kukabidhiwa jezi.12

Mawerenewz.blogspot.com ndio mtandao wako wakipekee unaokupa habari za BURUDANI,MICHEZO,SIASA, na HABARI MBALIMBALI ZA KIMATAIFA pamoja na KITAIFA Endelea kutembelea MTOKA MBALI pia nifuate twitter>>>@mawere3, facebook>>>Mawere Mtoka Mbali, Instagram>>>Zawadi_mawere. Youtube>>>MAWERE TV.





No comments:

Post a Comment

Samsung kurejesha fedha kwa wanunuzi wa Note 7

KAMPUNI ya Vifaa vya Elektoriniki ya Samsung ya Afrika Mashariki (SEEA) itarejesha fedha kwa wateja wa simu za Note 7, ambao wataweza kuthib...